Русско-суахилийский словарь на БА-БЕ

Главная > Словари живых языков > Современные языки на С > Лексикон суахили > БА-БЕ
Русско-суахилийский словарь: А | БА | БИ | В | ВО | ВС | Г | ДА | ДИ | Е, Ё | Ж | З | И, Й | К | КО | Л | М | НА | НЕ | О | ОП | ПА | ПО | ПОЛ | ПРА | ПРО | ПС | РА | РВ | С | СК | СО | СТ | Т | У | Ф | Х | Ц | Ч | Ш | Щ | Э | Ю | Я | Топонимы

Перевод русских слов на Ба-Бе на бантусский межплеменной язык суахили (зона G языков банту). Всего слов на Б - 1068 + 3.

баба
1) (инструмент) kipande [cha kupigilia sakafu] (vi-)

2) (разг.) jike (ma-)
бабник
msagaliwa (wa-)
бабочка
kipepeo (vi-), nzigunzigu (-), popo (-; ma-);
(виды) kinywajasho (vi-), kipolepole (vi-), lalachini (-), makuyuni (-), mumrima (-), mwanamigunga (-), mwendakote (wa-), mwendakusi (-);
бабочка-Хараксес machwiojua (-);
бабочка-изумрудник kizambaraubato (vi-);
бабочка-капустница kiberitishamba (vi-);
ночная бабочка nondo (-)
бабуин
nyani (-; ma-), gendaeka (ma-)
бабушка
bibi (ma-;-), bi kizee (ma-; -), nyanya (-; ma-)
багаж
mzigo (mi-)
багажник
karia (-)
багажный
-a mizigo;
багажный вагон behewa lа bidhaa (ma-), gari la mizigo (ma-)
багор
mpondo (mi-), upondo (pondo), kiopoo (vi-), chogoe (-), koleo (-; ma-)
багроветь
-piga wekundu
багровый
zambarau (-);
багровый цвет ngeu (-)
бадминтон
mchezo wa mpira wa vinyoya (mi-)
база
1) (основание) chanzo (vy-), shikizo (ma-)
2) kikao (vi-), kituo (vi-);
военная база kituo cha kijeshi (vi-)
базар
soko (-; ma-), marikiti (-), chete (vy-; -), gulio (ma-), genge (ma-)
базарный
-a soko, -a marikiti;
базарный день chete (vy-;-);
базарная площадь maidani (-), soko (-; ma-)
базедова болезнь
kororo (ma-)
базилик
mrihani (mi-);
базилик полевой kivumbasi (vi-), mvumbasi (mi-);
сладкий базилик (прянность) rihani (-)
базироваться
-tegemea, -wa na msingi, -wekwa juu ya msingi
базис
kalio (ma-), tegemeo (ma-), msingi (mi-)
базисный
-tegemezi
базовый
-а kimsingi
байдарка
mtumbwi (mi-), kihori (vi-), hori (-; ma-)
байка
kisa (vi-), hadithi (-), ngano (-)
бак
birika (ma-;-), hodhi (ma-; -), pipa (ma-), tangi (ma-; -)
бакалавр
bachela (ma-)
бакен
boya (ma-; -), chelezo (vy-), kioleza (vi-)
бакенбарды
sharafa (-; ma-), ndevu za mashavuni (мн.)
баки
см. <<бакенбарды>>
баклажан
1) (растение) mbiringani (mi-);
баклажан дикий mtunguja (mi-);
дикий баклажан с несъедобными плодами mtura (mi-)
2) (плод) bilingan[y]i (ma-)
баклан
(вид) nahodha (ma-; -);
большой баклан mnandi (-)
бактериолог
mjuzi wa vijimea vidogo (wa-)
бактериология
elimu ya vijimea vidogo (-), taaluma ya bakteria (-)
бактерия
bakteria (-), kidudu (vi-), kijasumu (vi-), kijimea (vi-)
бакшиш
bakshishi (-), chai (-), kadhongo (-)
балаган
1) (постройка) kibanda cha maonyesho (vi-)
2) (шутовство) uchale (ед.), uchekeshaji (ед.)
балагур
mtani (wa-), mcheshi (wa-), mchekeshaji (wa-)
балалайка
ala ya muziki kama banjo (-)
баламут
mleta fitina (wa-), mfujaji (wa-), mpika [ma]jungu (wa-)
баланс
1) (фин.) bakaa (-), baki (-; ma-), urari (ед.);
торговый баланс hesabu (-; ma-), urari wa biashara (ед.);
платежный баланс urari wa malipo (ед.);
расчетный баланс uzani wa hesabu (ед.)
2) (соотношение) mizani (-), mizania (-), urari (ед.), usawa (ед.), uzani (ед.);
баланс часов gurudumu tegemeo (ma-)
балансир
matengo (мн.), mizani (-), rengu (ma-)
балансировать
-wiana, -jaribu kupata msawazo
балбес
(разг.) mpumbavu (wa-), mpuuzi (wa-)
балдахин
msutu (mi-), mndule (mi-)
балерина
mcheza ngoma za Ulaya (wa-)
балет
1) (вид искусства) ngoma za Ulaya (мн.), ustadi wa dansi za kizungu (stadi)
2) (театр. представление) onyesho la ngoma (ma-), natiki ya dansi (-)
балка
1) (перекладина) boriti (ma-; -), mhimili (mi-), mwamba (mi-), taruma (ma-), ufumbi (ma-; fumbi), jiguzo (-);
поперечная балка darumeti (-);
поперечная балка (поддерживающая нижние концы крыши) mkingiko (mi-);
тонкая балка mtambaapanya (mi-)
2) (овраг) mbuo (mi-), mvo (mi-)
балкон
roshani (-)
балл
pointi (-), digrii (-; ma-)
баллада
wimbo (nyimbo), utenzi (tenzi)
балласт
(корабельный) farumi (-); (перен.) takataka (-)
баллистика
elimu juu ya risasi (-)
баллистический
-a kibalistiki
баллон
puto (ma-), mpira (mi-), baluni (-)
баллотироваться
-gombea uchaguzi, -tetea cheo, -tetea kiti;
баллотироваться на выборах в парламент -gombea ubunge
баллотировка
kura (-), voti (-)
баловать
-endekeza, -engaenga, -tendekeza, -tundua
баловаться
-gaagaa, -tukuta, -wa mtundu
баловень
mpendelevu (wa-), mpendwa (wa-)
баловник
mtoto mtundu (wa-)
баловство
deko (ma-), utundu (ед.)
бальзам
zeri (-)
бальзамировать
-tilia madawa katika maiti isioze
бамбук
mwanzi (mi-)
бамия
1) (растение) mbamia (mi-), mbinda (mi-)
2) (плод) binda (ma-), bamia (ma-)
банальный
-na-o-julikana na wote, -a kawaida
банан
1) (растение) mgomba (mi-); (виды) mchinjadamu (mi-), mzuzu (mi-), mfichachani (mi-), mkalimana (mi-), mkamachuma (mi-), mpanje (mi-);
молодой банан kigomba (vi-);
дикий банан mgomba- mwitu (mi-)
2) (плод) ndizi (-), izu (ma-), dole (ma-);
(сорта) tongo (-), mkonga wa tembo (mi-), mkono wa tembo (mi-), tongonya (ma-), pukusa (-), malindi (-), kisukari (vi-), dole (ma-), kichaazi (vi-), kijakazi (vi-), kikondo (vi-), kipukusa (vi-), kipukute (vi-), kono (ma-), mazu (мн.), ndovi (-), kojozi (-), bokoboko (ma-), ndizi уа kikojozi (-);
сушеные бананы makopa (мн.);
бенгальский банан ndizi Bungala (-)
банда
genge (ma-)
бандаж
mkumbuu (mi-), bendeji (-); (для беременной) mkowa (mi-)
бандероль
bahasha (-; ma-), kifurushi cha posta (vi-), kipeto (vi-)
банджо
banjo (-)
бандит
haramia (ma-), jahili (-; ma-), jambazi (ma-), jivi (ma-), kora (ma-), mkora (mi-; wa-)
бандитизм
ujambazi (ед.), uharamia (ед.), ukatili (ед.)
бандитский
-a ujambazi, -a jinai, -a kihalifu
банк
benki (ma-; -), kanzi (-); Международный
банк реконструкции и развития Benki уа Maendeleo Ulimwenguni (-)
банка
1) (сосуд) fungu (ma-);
консервная банка kopo (ma-), mkebe (mi-), kibati (vi-)
2) (отмель) ufuko (fuko)
банкет
dhifa (-), karamu (-)
банкир
mkuu wa benki (wa-)
банкнота
noti (-•, ma-), hati уа fedha, waraka wa benki (nyaraka)
банковский
-a benki
банкрот
mfilisika (wa-), muflisi (wa-), mwenye kufilisika (wenye), suta (-);
делать банкротом -filisi
банкротство
mpambanisho (mi-), muflisi (-), taflisi (-), ufilisi (ед.)
банник
busha lа kufutia mzinga (ma-)
бант
fundo lа utepe (ma-), kishada (vi-)
бантуский
-а Kibantu
баня
chakogea (vy-), hamamu (-)
баобаб
mbuyu (mi-); (вид) mlamba (mi-);
плод баобаба buyu (ma-)
баптистерий
batizo (-)
бар
baa (ma-; -), bufe (-), klabu уа pombe (-)
барабан
ngoma (-);
барабан для торжественных случаев mganda (mi-);
барабан на ножках dogori (ma-), kuro (-), kumbwaya (-),msondo (mi-), kinganga (vi-);
длинный барабан msonde (mi-);
военный барабан kilingo (vi-);
небольшой барабан chapuo (-), rika (-), tutu (-), hanzua (-);
сигнальный барабан chondo (-), rewa (-);
барабан для изгнания духов dungumaro (-);
барабан часов kikakasi cha kamani (vi-)
барабанить
1) (бить в барабан) -piga ngoma, -chapua ngoma
2) (стучать; разг.) -dunda, -bisha, -gonga
барабанщик
dram[u]meja (ma-), lomba (ma-), mpiga ngoma (wa-)
барабуля
(зубатая) mkundaji (mi-)
барак
1) (воен.) nyumba ya vikosi vya askari (-)
2) (строение) kibanda (vi-), upenu (penu)
баран
beberu lа kondoo (ma-), kondoo (-), ng'onzi (-)
баранина
nyama уа kondoo (-)
барахолка
(разг.) soko (ma-;-), marikiti (-), gulio (ma-), mahali pa kuuzwa vitu vikuukuu
барахтаться
-gaagaa, -hangaika, -tapatapa
барашек
mwana wa kondoo (wana; waana), ndama уа kondoo (-)
бард
mtungaji na mwimbaji wa nyimbo (wa-), mtumbuizi (wa-)
баржа
tishari (ma-; -)
барин
bwana (ma-), bwanyenye (ma-; wa-), kabaila (ma-), mwinyi (mamwinyi)
бармен
mhudumiaji katika baa (wa-)
барометр
barometa (-), chombo cha kupimia msukumano wa hewa (vy-)
барражировать
-vinjari, -zurura
барракуда
(черная) mzia (-)
баррель
bareli (-), pipa (ma-)
баррикада
boma (ma-), kizuizi (vi-);
баррикады mazongezonge (мн.)
баррикадировать
-zuia kwa boma, -zuia kwa mazonge, -weka vizuizi
барс
chui mweupe (-), namiri (-)
бархан
tuta la mchanga (ma-)
бархат
bahameli (-), kiludhu (ед.; -)
бархатистость
wororo (ед.)
бархатистый
-ororo, [-]laini
барщина
shokoa (-), kazi ya lazima bila mshahara (-)
барыш
mapato (мн.), faida (-), chumo (ma-)
барышничать
-langua
барьер
1) (препятствие) kipingo (vi-), kizuio (vi-), kizuizi (vi-), mbigili (-; mi-);
барьер скамьи подсудимых kizimba (vi-)
2) (спорт.) kiunzi (vi-);
барьерный бег mbio za kuruka viunzi (-)
бас
1) (голос) sauti dume (-), sauti nene (-)
2) (муз.) besi (-)
басить
(разг.) -nguruma, -zungumza kwa sauti nene
баскетбол
mpira wa kikapu (mi-)
баскетболист
mcheza mpira wa kikapu (wa-)
баснописец
mwandishi wa hurafa (wa-), mtungaji wa ngano (wa-)
баснословный
-kubwa sana, -a ajabu, -a mshangao
басня
kisa (vi-), ngano (-), hurafa (-), tasnifu (-)
бассейн
bwawa (ma-), chakogea (vy-), hamamu (-), hodhi (ma-; -), java (ma-);
плавательный бассейн birika lа kuogelea (ma-), dimbwi lа kuogelea (ma-);
бассейн реки bonde la mto (ma-)
бастион
boma la ngome (ma-)
бастовать
-acha kazi, -gahamu, -goma
бастр
sukari guru (-)
баталист
mchoraji wa picha za mapigano (wa-), mchoraji wa matukio ya kivita (wa-)
баталия
mapigano (мн.), vita (мн.; -)
батальон
batalioni (-)
батарейка
(электрофонаря) jiwe la tochi (ma-), jiwe la kurunzi (ma-)
батарея
1) (электрическая) beteri (-)
2) (парового отопления) hita (-), chombo cha kueneza joto nyumbani (vy-)
3) (воен.) jamii ya mizinga (-)
батат
1) (растение) mbatata (-; mi-)
2) (клубни) batata (-; ma-), kiazi (vi-), kiazi cha kwata (vi-); (сорта) kindoro (vi-), kinana (vi-), kirehani (vi-);
белый батат kiazi sena (vi-), kwata jeupe (ma-);
красный батат kiazi kindoro (vi-), kwata jekundu (ma-)
батискаф
nyambizi (-)
батист
bafta laini (-);
льняной батист kambriki (-)
батолит
mbuji (-)
батон
kibakora (vi-)
батрак
kibarua wa kijijini (vi-), mkulima mwajiriwa (wa-), nokoa (ma-)
батрачить
-fanya kazi ya kibarua kijijini
баул
mkoba wa safari (mi-), sanduku (ma-)
бахвал
mgambaji (wa-), mjisifu (wa-)
бахвалиться
-jikweza, -sema maneno уа ndaro, -jitutumua, -twaza
бахвальство
hanjamu (ma-;-), kishaufu (vi-), lonyo (-; ma-), magigimo (мн.), majisifu (мн.), majivuno (мн.), mapyoro (мн.), ndaro (-), tutuo (ma-)
бахрома
kishungi (vi-), shungi (-; ma-), tamvua (ma-), utamvua (tamvua; ma-);
бахрома по подолу женского платья chugachuga (-)
бахча
shamba la mitikiti (ma-)
бацилла
kijidudu kidogo sana, kijasumu (vi-)
бачок
tangi (ma-; -)
башенный
-a mnara
башковитый
(разг.) -enye akili, -enye busara, -erevu
башмак
kiatu (vi-), buti (ma-), mtarawanda (mi-), njuti (-)
башмачник
(устар.) mshona viatu (wa-)
башня
buruji (-; ma-), mnara (mi-), ngome (-)
баюкать
-ning'inia, -bimba, -pembeza mtoto, -vinya
бдение
kesha (-; ma-)
бдительно
kimachomacho, kwa kujihadhari
бдительность
utunduizi (ед.), uvinjari (ед.), hadhari (-), uangalifu (ед.)
бдительный
-angalifu, nabihi, -tunduizi, -a macho, -enye hadhari;
быть бдительным -tanabahi, -wa macho, -tahadhari
бег
mbio (-);
бег на месте, трусцой mchakamchaka (-);
быстрый бег telki (-);
бег с препятствиями kukimbia na vidaraja, mbio za kuruka viunzi (-);
беговая дорожка njia уа kukimbilia уа uwanja (-);
в бегах kiguu na njia
бегать
см. <<бежать>>
бегемот
kiboko (vi-), tomondo (-)
беглец
mkimbizi (wa-), mtoro (wa-), sharidi (-; ma-)
бегло
kijuujuu
беглый
(поверхностный, поспешный) ovyo, -a juu juu, -a haraka
бегом
fuli, kimbio, mbiombio
бегство
utoro (ед.)
бегун
mkimbiaji (wa-), mwanambio (w-)
беда
baa (-; ma-), balaa (-; ma-), dhara (ma-), dhila (-; ma-), kahati (-), maafa (мн.), mkasa (mi-), pigo (ma-; -), taabu (-), tata (ma-), msiba (mi-)
беднеть
-dhalilika, -fukarika, -ruzu, -tabakwa
бедно
kinyonge
бедность
ufukara (ед.), umas[i]kini (ед.), uhitaji (ед.), ukata (ед.), ulofa (ед.), urumo (ед.), usikini (ед.), usuta (ед.), utaiti (ед.), utule (ед.)
бедный
1) (несчастный) dhalili, -kiwa;
бедный человек suta (-)
2) (нищий) hohehahe, -а kifukara, maskini, -tule, -si-o na mbele wala nyuma;
бедный человек hohehahe (-), mkata (wa-), mtule (wa-);
быть бедным -dhalilika, -tabakwa (редко)
бедняжка
maskini (-)
бедняк
fukara (-; ma-), hawinde (ma-), kabwela (ma-), kapuku (ma-), kibapara (vi-), lofa (ma-), maskini (-), mkata (wa-), mkiwa (wa-), asiye na mbele wala nyuma (идиом.)
бедолага
(разг.) suta (-), maskini (-)
бедро
1) (часть тела) ago (ma-), chuno (-), fupaja (ma-), kiga (vi-), kipingili mguu, kiweo (vi-), nyonga (-), paja (ma-), pembejo (-), unyonga (nyonga)
2) (линия бедра) pengene (-)
бедственный
-a shida, maskini;
бедственное положение shida (-), udhiki (ед.);
бедственное состояние udhalifu (ед.), umas[i]kini (ед.)
бедствие
baa (-; ma-), balaa (-; ma-), dhara (ma-), dhii (-), harubu (-), kahati (-), kunusi (-), maafa (мн.), madhilifu (мн.), masa[h]ibu (мн.), msiba (mi-), nakama (-), shari (-)
бедствовать
-hitaji sana, -taiti
бедуин
bedui (ma-)
бежать
-enda mbio, -kimbia, -piga mbio, -rufai, -rukudhu, -sharidi; (о жидкости) -tiririka;
бежать галопом -enda mbio kifarasi;
бежать рысью -enda matiti, -enda telki;
бежать трусцой -kimbia mchakamchaka, -nyatua;
бежать со всех ног -chomoka mbiо, -kimbia mbio, -fyekua;
бежать быстро -enda telki, -piga shoti, -enda shoti; -parakasa;
бежать из тюрьмы -toroka gerezani, -kimbia gerezani;
бежать по направлению к -kimbilia;
бежать ради чего-л. -kimbilia
беженец
mkimbizi (wa-), mtoro (wa-); (ист.) беженец из Мекки mhajirina (wa-)
без
bila, ghairi уа, minghairi, pasina, pasipo;
без того, чтобы laula;
без системы shelabela;
без всяких условий bila masharti уо yote;
без дела (болтаться и т.п.) shambiro;
без задержки bila уа ajizi;
без зазрения совести bila [уа] aibu; без конца bila kikomo, sago;
без лишних слов (что-л. сделать) bila kusema mengi;
без меры bila kiasi;
без одежды (голый) rabana;
без оснований bila sababu, bila udhuru;
без перерыва mfululizo, mtawalia;
без примесей safi;
без промедления halahala;
без работы (тж. без дела) shambiro;
без разбора bila mpembuo, pasina mpembuo, shelabela, kiholela;
без сомнения bila shaka;
без стыда bila [уа] aibu;
без толку bilashi, bure;
без труда chewale, bila shida;
без успеха bila уа kufanikiwa;
без устали bila ya kuchoka;
без установленных правил shambiro;
без утайки bila kuficha;
без четверти (о времени и т.п.) kasorobo;
без числа bila idadi, kochokocho;
делать без остановки -fu[l]uliza
безалкогольный
-a bila ya alkoholi
безбедный
-enye mali, tajiri, -si-o maskini
безбожие
ukufuru (ед.), kutoamini Mungu, ukani wa Mungu (ед.)
безбожник
kafiri (ma-), mtu asiyeamini Mungu (wa-)
безбожный
-а kikafiri, -a kukanya Mungu, -a kutoamini kuwa yuko Mungu
безболезненный
-a bila ya kuleta maumivu
безбоязненный
-si-o na hofu, -si-o-ogopa
безбрачие
ujane (ед.)
безбрежный
-si-o na mipaka
безверие
ukafiri (ед.)
безвестность
lindi la sahau (ma-), mwayiro (mi-), kutojulikana
безвестный
-si-o-julikana, -si-o-tambulikana
безветренный
shwari;
безветренная погода shwari (-)
безвинный
asiye nа hatia
безвкусица
udufu (ед.)
безвкусность
uchapwa (ед.)
безвкусный
(пресный, невкусный) -а chukuchuku, dufu, zaburi (-), zabwi
безвластие
ukosekano wa Serikali (ед.), machafuko ya mambo ya utawala (мн.)
безводность
ukavu (ед.)
безводный
kame, -kavu;
безводная местность mkuranga (mi-)
безвозвратный
-a kutorudia tena, -li-o-potea daima milele
безвоздушный
bila ya hewa;
безвоздушное пространство uwazi (ед.), mahali pasipo hewa
безвозмездно
bure, pasipo malipo
безвозмездный
-a bure, bila malipo
безволие
ufefe (ед.), uajizi (ед.), ulegevu (ед.)
безвольный
-legevu, -nyong'onyevu, -enye moyo mchache;
безвольный человек mtu teke (wa-);
быть безвольным -tepeta
безвредный
-si-o-leta hasara, -si-o-dhuru
безвременный
-a mapema mno, -tangulifu
безвылазно
bila ya kutoka nje
безвыходный
-a kukata tamaa, -sio na matumaini
безглазый
(человек) msimacho (wa-)
безгласный
1) (устар.) tutwe, [-a] kimya
2) -tulivu, -kokotevu
безголовый
1) (прям.) -si-o na kichwa, -li-o-katwa kichwa
2) (перен.) -pumbavu, -a upuuzi, -si-o na busara
безголосый
-si-o na sauti [nzuri]
безграмотность
kutojua kusoma wala kuandika, ukosefu wa maarifa (ед.), ujinga (ед.)
безграмотный
1) (неграмотный) -si-o-jua kusoma wala kuandika
2) (с ошибками) -enye makosa mengi
безгранично
bila mpaka, pasipo mpaka
безграничный
-а bila mpaka
безгрешный
maasumu;
быть безгрешным -takata
бездарность
uchochole (ед.)
бездарный
-a bila ya kipaji, -a bila ya ubingwa
бездействие
uzembe (ед.), ulegevu (ед.), utepetevu (ед.)
бездействовать
-tofanya kazi, -kaakaa, -totenda
безделица
kidude (vi-), kitakataka (vi-)
безделушка
udohodoho (ед.);
безделушки vikorokoro (мн.)
безделье
ukunguni (ед.), uzingaji (ед.)
бездельник
mtu baridi (wa-), goigoi (-; ma-), jeta (-), lofa (ma-), mkora (mi-; wa-), mkunguni (wa-), mparuzi (wa-), msiri (wa-), mtepetevu (wa-), mzururaji (wa-);
быть бездельником -wa na kizembe, -pumbaa kazi, -kaa kivivu
бездельничанье
kitango (ед.), tango (ma-), uzururaji (ед.)
бездельничать
-gaagaa, -kaa vivi hivi, -kaa bure, -kaa kivivu, -pumbaa kazi, -vinjari, -zurura
безденежье
ukosefu wa fedha (ед.), kutokuwepo kwa pesa
бездетность
ugumba (ед.)
бездетный
(человек) mgumba (wa-), mpweke (wa-), msiwana (wa-), mtu gumba (wa-)
бездефицитный
-a bila ya nuksi, -si-o na nakisi
бездеятельность
ugoigoi (ед.)
бездеятельный
baridi, tepetepe, -vivu;
быть бездеятельным -kaakaa, -tepeta
бездна
luja (-), ombe (-), uketo (ед.); (перен.) maangamazi (мн.)
бездоказательный
bila ya kutoa ushahidi, -a kusingizia tu, -si-o na msingi
бездомный
(человек) mhamiaji (wa-), mhamishi (wa-), msikwao (wa-), mhuni (wa-)
бездонный
keto, -refu, -a kimbizi, -si-o na kikomo cha chini
бездорожье
upungufu wa njia njema (ед.)
бездумно
holela, kibubusa
бездушный
(бессердечный) -enye moyo mzito, -si-o na huruma, katili
безе
meringe (-)
безжалостно
jahili, yosayosa, bila huruma
безжалостность
ugumu (ед.), ujahili (ед.), ukatili (ед.)
безжалостный
jahili, katili, -si-o na huruma, pasipo huruma;
безжалостный человек jahili (-; ma-), katili (ma-)
безжизненность
ubaridi (ед.), uchapwa (ед.), udufu (ед.), uzimbezimbe (ед.)
безжизненный
-fu, -li-ozimia, pasipo nguvu
беззаботно
bure, kwa upurukushani
беззаботность
umayale (ед.), ukavu wa macho, upurukushani (ед.)
беззаботный
-zembe, -vivu, -purukushani;
беззаботный человек mpurukushani (wa-);
быть беззаботным -terema
беззаветный
-a kujitolea, -a kusahau nafsi yake
беззаконие
udhalimu (ед.; ma-), ukosefu wa sheria (ед.), machafuko ya mambo ya sheria (мн.), ukatili (ед.), mvunjo wa sheria (mi-)
беззаконничать
-vunja sheria, -asi, -halifu
безаконный
-si-o sheria, haramu, -a kuvunja sheria
беззастенчивость
salata (-), utovu wa haya (ед.), upujufu (ед.)
беззащитность
hali ya kutolindwa (-), hali ya kutoweza kujihifadhi (-)
беззащитный
-si-olindwa, -si-ohifadhiwa, -si-oweza kujihifadhi
беззвучный
[-a] kimya, -a bila ya vilio
безземелье
upungufu wa mashamba (ед.), upungufu wa ardhi (ед.), shida za ukosefu wa mashamba (мн.)
безземельный
(человек) mtu asiye na shamba (wa-)
беззлобный
-si-o na chuki, -si-o na husuda, -changamfu
беззубый
(человек) buda (-), kibogoyo (vi-)
безлесный
pasipo na msitu;
безлесная местность nyika (-; ma-)
безликий
-si-o na uasili, -si-o-tofautiana na -ingine
безлюдный
pasipo na watu;
безлюдная местность hame (ma-)
безмен
mizani (-), kapani (-)
безмерно
bila kiasi
безмозглый
(разг.) -pumbavu, afkani, -jinga, -a upuuzi
безмолвие
kimya (ед.), ukimya (ед.), unyamavu (eд.)
безмолвно
tutwe
безмолвный
tutwe, [-a] kimya
безмолвствовать
-kaa kimya
безмятежно
tuli
безмятежность
makini (-), upole (ед.)
безмятежный
tuli, -tulivu, shwari;
быть безмятежным -tulia
безнадежность
ukosefu wa matumaini (ед.), kufa moyo
безнадежный
bure, -a kukata tamaa, -si-o na matumaini, taabani
безнадзорный
-a bila ya uangalizi, -si-o na usimamizi
безнаказанно
bila kushtakiwa, bila ya kupata adhabu
безнаказанность
kutopata adhabu
безнаказанный
-si-oadhibishwa
безналичный
-a bila ya uhamisho wa fedha taslimu
безногий
-si-o na miguu
безносый
-si-o na pua
безнравственно
kifisadi
безнравственность
aibu (-), asherati (-), dondoo (ma-), ufisadi (ед.), uzinifu (ед.)
безнравственный
(человек) asherati (-);
быть безнравствен- ным -aibika
безобидный
-si-o na chukio, -a kutodhuru, -si-o-leta matata
безобразничать
-tofuata adabu, -vunja maadili, -huni
безобразный
1) (о поведении и т.п.) -potovu, -baya, makuruhu, -nyarafu
2) (о внешности) -a kuchukiza, -baya
безоговорочно
bila masharti уо yote
безоговорочный
-si-o -а masharti, bila ya masharti, kabisa, pasipo neno zaidi
безопасно
salama
безопасность
salama (-), usalama (ед.);
быть в безопасности -sitirika
безопасный
salama, pasipo hatari
безоружный
pasipo silaha
безосновательный
pasipo msingi, -si-othibitika, pasipo sababu
безостановочность
mfululizo (mi-)
безостановочный
bila ya kituo, -a daima, bila ya kikomo
безответный
1) (не получающий отклика) -a bila ya mwitiko, -si-o-pata mwitiko, -a kutoitikiwa
2) (не дающий ответа) [-a] kimya, -a kutoitikia
3) (кроткий, покорный) pole, -tulivu, -tii, -nyenyekevu, -telekevu
безответственность
utovu wa dhamana (ед.)
безответственный
-а bila madaraka, habali
безотказный
madhubuti; (надежный) -aminifu, -a kutumainiwa, -a kutegemea
безотлагательно
bila ya kuahirisha, bila ya kuchelewesha
безотлагательный
-a haraka, -a lazima
безотносительно
bila ya kujali, pasipo kuangalia, pasipo kuhesabu, pasipo kufikiri
безотрадный
-a bila ya kuleta furaha, -a kusononeka
безошибочно
sahihi
безошибочность
usahihi (ед.)
безошибочный
sahihi, barabara, sawasawa
безработица
ugoigoi (ед.), ukosefu wa kazi (ед.)
безработный
mtu asiyeajiriwa (wa-), mtu asiye na kazi (wa-)
безрадостный
-a bila ya kuleta furaha, -a kusononeka
безраздельно
kabisa, kwa ukamilifu
безразличие
ubaridi (ед.), uzembe (ед.)
безразлично
yote ni mamoja, hakuna tofauti
безразличный
tepetepe;
быть безразличным -kata kite, -tepeta
безрассудно
kipofu, ovyo
безрассудный
-kavu;
безрассудный человек mnyangalika (wa-)
безрассудство
ubahaimu (ед.), ukosefu wa akili (ед.)
безрезультатно
shoro, bila ya matokeo, bure
безрезультатность
ubure (ед.), utupu (ед.), kutofaulu
безрезультатный
batili, shoro
безродный
(человек) mkiwa (wa-)
безропотно
kikondoo
безропотность
mbiginyo (-), saburi (-), ushukuru (ед.), utiifu (ед.), upole (ед.), uvumilivu (ед.)
безропотный
dhalili, -tulivu, -tii, -vumilivu
безрукий
1) (прям.) -si-o na mikono

2) (перен.) si hodari, si mahiri;
безрукий человек mkosi (wa-)
безубыточно
bila ya hasara
безударный
(фон.) -a bila ya mkazo, -si-o na shada
безудержный
-si-o-zuilika
безукоризненный
-kamilifu, -timilifu, -zuri
безумец
см. <<сумасшедший>>, <<безумный>>
безумие
mahoka, kichaa (vi-), kimkumku (ед.), mafuu (мн.), mapiswa (мн.), mbasua (-), (ед.), wazimu (ед.), wehu (ед.)
безумный
(человек) majinuni (-), mkichaa (wa-), mwehu (wehu), hoka (ma-)
безупречно
kikamilifu, vizuri
безупречный
-kamilifu, safi, timamu, -timilifu; (о речи) [-а] fasaha
безусловно
hakika, kabisa, uzuri, bila shaka
безусловный
-si-o -а masharti, -a hakika
безуспешно
bila уа kufanikiwa, bila kufaulu, shoro, bure, ovyo
безуспешный
shoro, -si-ofaulu, -a bure
безучастно
sawa, bila kujali
безучастный
-vivu;
быть безучастным -kata kite
безымянный
-nyangalika, -si-o na jina
безысходный
-a kukata tamaa, -si-o-leta matumaini
бейсбол
besiboli (-)
бекон
bekoni (-)
белизна
kweupe (ед.), takato (ma-; -), weupe (ед.)
белить
-paka chokaa, -rasha, -wandika
белковый
-a proteni; (о яйце) -a uteyai;
белковое вещество uteyai (ед.)
белоглазка
manja (-)
белок
1) (вещество) protini (-)
2) (яичный) ute wa yai (nyute; mate), uteyai (ед.);
белок глаза ute mweupe wa jicho (nyute; mate)
белокурый
-enye nywele nyeupe
белоснежный
-eupe sana [kama theluji], -eupe tititi
белый
-eupe, abyadhi;
белый цвет weupe (ед.);
белый хлеб pau (ma-)
бельгиец
Mbelgiji (wa-)
белье
nguo (-);
белье нижнее fulana za ndani (мн.), kiguo (vi-), nguo za ndani (мн.), nguondani (-);
постельное белье nguo za kitanda (мн.)
бельмо
chamba (vy-), utando wa jicho (tando)
бемоль
(муз.) kitelemsho (vi-)
Бенгалия
Bungala (ед.)
бенгальский
-а Bungala
бензин
petroli (-)
бензобак
tangi la petroli (ma-)
бензовоз
gari la kubebea petroli (ma-)
бензозаправочный
-a petroli;
бензозаправочная станция stesheni уа petroli (-)
бензойная смола
uvumba (eд.)
бензоколонка
см. <<бензозаправочный>>
бензопровод
bomba la petroli (ma-)
бензоцистерна
tangi la petroli (ma-)
бердо
faraka (-)
берег
kando (-; ma-), ng'ambo (-), ombwe (-), pwaa (-), pwaji (-), pwani (-), sahili (-), mwambao (mi-), mpoa wa bahari (mi-), mrima (mi-), ukingo; берег после отлива mpwa (-);
скалистый берег ngome (-)
бередить
-tonesha
бережливо
udohodoho (ед.)
бережливость
iktisadi (-), mlimbiko (mi-), ukabidhi (ед.), uwekevu (ед.)
бережливый
kabidhi;
бережливый человек msarifu (wa-), mwelekevu (wa-)
бережный
-a kutunza;
бережное обращение utunzaji (ед.)
беременеть
-pata mimba
беременная
-enye mimba, -zito;
беременная женщина mja mzito (wa-);
быть беременной -himili
беременность
himila (-), mimba (-), matumbo (мн.), ujauzito (ед.)
берет
kofia (-; ma-)
беречь
-hifadhi, -kabidhi, -limbika, -linda, -nafidhi, -okoa, -shunga, -vua;
беречь как зеницу ока -weka ndani уа mboni za macho;
беречь мир -linda amani, -hifadhi amani
беречься
-jiponya, -tahadhari
бери-бери
beriberi (-)
берлога
pango (-; ma-), tundu (ma-; -)
берцовая кость
goko (ma-), muundi (mi-)
бес
shetani (ma-), ib[i]lisi (-;ma-)
беседа
gumzo (ma-), kizungumzo (vi-), mahojiano (мн.), maongezi (мн.), semezano (ma-), zungumzo (ma-);
беседа на определенную тему mada (-);
оживленная беседа mdahalo (mi-)
беседка
kibanda cha bustani (vi-)
беседовать
-zungumza, -ongea, -sukuma gumzo, -longa, -tongoa
бесить
-kasirisha, -tunisha
беситься
(быть в гневе) -ona chuki, -patwa na hasira, -wa na ghadhabu, -fura (перен.)
бескозырка
kofia ya baharia (-)
бескомпромиссный
thabiti
бесконечно
bila kikomo, milele, nenda rudi
бесконечность
milele (-), hali ya kutokuwa na mwisho (-)
бесконечный
-а milele, -si-o na mwisho, pasipo kikomo, pasipo mpaka, pasipo kiasi
бесконтрольно
bila ya uangalizi
бесконтрольный
-si-ozuilika, -si-oangaliwa
бескорыстный
safi, -a kutotaka faida, -a kutotaka kujifaidisha -enyewe
бескрайний
-si-o na mipaka, -si-o na mwisho
бескровный
1) (бледный) -eupe, -a safura
2) (без кровопролития) bila kufyonza damu, bila ya kumwaga damu
бесноватый
majinuni (-)
беспалый
(человек) buge (ma-)
беспартийный
asiye mwanachama
бесперебойно
daima, bila ya kusita, bila ya kukatiza
бесперебойность
mfululizo (mi-), mfungamano (mi-)
беспересадочный
bila ya kutua
беспечно
bure
беспечность
mghafala (mi-), umayale (ед.), uzembe (ед.), upurukushani (ед.), ukavu wa macho (ед.)
беспечный
(человек) mghafala (wa-), mpurukushani (wa-)
беспланово
msobemsobe
бесплановость
mkorogo (mi-), ukosefu wa mpango (ед.), utovu wa maongozi (ед.), ukosekano wa maongozi (ед.)
бесплановый
bila ya mpango, -si-o na mpango
бесплатно
bure, bwerere, chewale, goya, holela, mterera, nyara
бесплатный
bure, bila ya malipo
бесплодие
ugumba (ед.), utasa (ед.);
бесплодие почвы ukame (ед.)
бесплодность
utasa (ед.)
бесплодный
gumba, kame, tasa;
бесплодная женщина mgumba (wa-), tasa (-);
бесплодная земля nyika (-; ma-);
бесплодная самка tasa (-);
быть бесплодным (о растениях) -parama
бесповоротно
makataa, mkataa
бесподобный
-si-o na kifani, bora kabisa, -zuri sana
беспозвоночный
-si-o na uti wa mgongo
беспокоить
1) (тревожить) -babaisha, -hatiki, -kera, -korofi, -tiа mshawasha, -omoa, -sumbua, -taabisha, -tikisa, -tunisha, -udhi, -vigaviga, -thakilisha, -virigiza
2) (надоедать) -chachafya, -ghasi, -kefyakefya, -kera, -nyonga, -taabisha, -tafiri
беспокоиться
-wa nа adha, -fadhaika, -gaya, -hanja, -idhika, -оnа jekejeke, -papa, -riaria, -sumba, -sumbuka, -taharaki, -taradadi, -fanya (-patwa na, -shikwa na) tashwishi, -fanya wasiwasi;
беспокоиться по пустякам -haha
беспокойность
macheche (-; мн.), mangumburi (мн.)
беспокойный
-babaifu, -enye matata, -tukutu;
беспокойный человек mapepe (мн.), mgaagaa (wa-), mtiriri (mi-), mtukutu (wa-);
беспокойно спящий человек mlalavi (wa-);
быть беспокойным -hangaika, -tukuta
беспокойство
adha (-), balaa (-; ma-), beluwa (-), hangaiko (ma-), hatihati (-), kero (-; ma-), kimuyemuye (ед.), kindumbwendumbwe (vi-), kizaazaa (vi-), kukuru (-), machug[w]achug[w]a (мн.), makeke (мн.), makunjubo (мн.), mashamshamu (мн.), masuko (мн.), maudhi (мн.), shakawa (-), sumbuko (ma-), tafrani (-), udhia (ед.), wahaka (eд.), wasiwasi (ед; -), basua (-), chachari (ma-), chachawi (ma-), chonza (-), dukuduku (-; ma-), gubu (-), hamu (-), hekaheka (-), jekejeke (-),kiherehere (vi-), kitete (vi-), kivangaito (vi-), kiwewe (vi-), kizuli (vi-), kololo (-), mang'amung'amu (-), mapepe (мн.), mawenge (мн.), mpapatiko (mi-), msukosuko (mi-), mwako (mi-), ramu (-), sononeko (ma-), takalifu (-), tashwishi (-), tenge (-; ma-), tikisiko (ma-), utukutu (ед.), wayowayo (-);
испытывать беспокойство -ona kimuyemuye, -kukurika, -wa na ramu moyoni, -tikisika, -chaga
беспокоящий
-а matata, -enye matata
бесполезно
goya, kikuukuu, kwa mahonyo
бесполезность
ubatilifu (ед.), uhafifu (eд.), utasa (ед.), uzimbezimbe (ед.)
бесполезный
batili, dufu, -а kikuukuu, -legevu, -а mahonyo, wahshi, -wi;
делать бесполезным -tilifu;
становиться бесполезным -tilifika;
что-л. ставшее бесполезным kikuukuu (vi-), kindengereka (vi-), kinyangalika (vi-), mahonyo (-);
что-л. бесполезное bwerere (-);
бесполезные вещи makorokoro (мн.)
беспомощно
kipooza
беспомощный
hoi, -zito, hafifu, dhaifu;
быть беспомощным -ajazi
беспорядок
borongo (ma-), chachawizo (ma-), fadhaa (-), fujo (ma-), furufuru (-), ghasia (-), hekaheka (-), kititimo (vi-), kivangaito (vi-), makorowezo (мн.), mavungu (мн.), mburugo (mi-), mchafuko (mi-), mgaragazo (mi-), mparaganyo (mi-), mtangauko (mi-), rabsha (-), rangaito (-), tafrani (-), tawanyiko (ma-), titimo (ma-), vuguvugu (ma-), vurugu (-; ma-), vurumai (-; ma-), wasiwasi (ед; -), zahama (-), zogo (ma-; -);
крайний беспорядок majojo (мн.);
беспорядки fujo (ma-), kimondo (vi-), kizaazaa (vi-), msukosuko (mi-), mwako (mi-), sokomoko (ma-; -), tandabelua (-), vurugu (-; ma-), vurumai (-; ma-);
быть в беспорядке -chafuka, -rabishika;
в беспорядке fulifuli, kifujo, mchafu koge, kifulifuli, shambiro
беспорядочно
shaghala baghala, hobelahobela, kifujo, kigugu, kiholela, kisegemnege, kivoloya, mchafukoge, mvange, shambiro, shelabela, zigizaga
беспорядочный
[-a] shaghala baghala, [-a] kiholela;
беспорядочное изложение babaiko (ma-);
быть беспорядочным -peketeka
беспорядочность
mafamba (мн.), pogo (-; ma-)
беспосадочный
bila ya kutua po pote
беспочвенный
-si-o na msingi, -a kusingizia tu, ovyo
беспошлинный
-a bila ya kutozwa ushuru
беспощадность
ubedui (ед.), ukali (ед.), ukatili (ед.), ukorofi (ед.)
беспощадный
-kali, -korofi, katili, bila ya huruma;
беспощадный человек bedui (ma-)
бесправие
1) (беззаконие) udhalimu (ед.)
2) (отсутствие прав) ukosefu wa haki (ед.)
бесправный
-si-o na haki
беспредельный
-si-o na mpaka, -si-o na mwisho, -si-o na kiasi
беспрекословно
bila ya mabishano, bila ya kukataa, kwa utiifu
беспрекословный
kamili, -tii
беспрепятственно
bila kupingwa, bila kuzuiliwa, pasipo shida, pasipo matata
беспрепятственный
sabili
беспрерывно
moja kwa moja, sago, bila ya kusita, bila ya kuacha
беспрецедентный
-si-o na mfano
бесприбыльно
bila ya kupata faida
беспризорный
(ребенок) mtoto wa kikopo (wa-), mkiwa (wa-)
беспримерный
-si-o na kifani, -si-o na mfano
беспримесный
menyu
беспристрастие
uadilifu (ед.), unyofu (ед.), kutopendelea po pote
беспристрастно
sawa, bila уа upendeleo wo wote, kwa uadilifu, kwa unyofu
беспристрастный
sawa, -tulivu, -nyofu, -a haki, -si-o-pendelea po pote
беспричинно
bilashi, dhalala, bila ya sababu, pasipo hoja
беспробудный
(пьяница) mlevi wa kupindukia (wa-), mlevi wa kubobea (wa-)
беспроволочный
-a bila ya waya;
беспроволочный телеграф simu уа upepo (-), simu ya hewani (-)
беспросветный
-a giza, bila ya raha, -a kuhuzunisha
беспроцентный
(заем) mkopo wa kutolipia faida (mi-)
беспутный
koko, -zembe;
беспутный образ жизни asherati (-);
беспутный человек asherati (-)
беспутство
fuska (-), uasherati (ед.)
бессердечность
sugu (-), ukavu wa moyo (ед.)
бессердечный
-kavu, sugu, -enye moyo mgumu, -enye moyo mzito
бессилие
uajizi (ед.), udhaifu (ед.), uhafifu (eд.), uoza (ед.)
бессильный
dhaifu, duni, -nyonge
бессистемно
msobemsobe
бессистемность
mafamba (мн.), mkorogo (mi-)
бессистемный
-si-o na utaratibu, ovyo, -a fujo, [-a] kiholela, [-a] shaghalabaghala
бесславие
sifa mbaya (-), fedheha (-)
бесславный
-a aibu, pasipo heshima, -enye sifa mbaya
бесследно
bila ya kuonekana, bila ya kutambulikana
бессловесный
1) (о животных) -si-o-weza kuzungumza, [-a] kimya
2) (робкий) -kokotevu, -tulivu, -enye haya, -tii, -nyenyekevu
бессменно
daima, mfululizo, bila ya kikomo
бессменный
-a daima, -a mfululizo
бессмертие
maisha ya milele (мн.), kutokufa, kutoharibika
бессмертный
-a kuishi milele, -si-o-kufa, -a kudumu milele, -si-o-haribika
бессмысленно
kipuuzi, kipumbavu
бессмысленность upuuzi (ед.), ujinga (ед.), upumbavu (ед.)
бессмысленный
batili, [-]chege, -а kipumbavu, -а kipuuzi, -si-o na maana, -jinga, -si-o-faa, bure;
что-л. бессмысленное kifufumkunye (vi-);
бессмысленная речь babaiko (ma-)
бессмыслица
payo (-; ma-), pwaji (-), maneno matupu (мн.), ubabaifu (ед.), puzo (ma-) (редко)
бессовестный
(человек) mtovu wa haya (wa-), mwana hizaya (wana; waana)
бессодержательность
ubatilifu (ед.), utupu (ед.)
бессодержательный
-tupu, wahshi
бессознательно
kikasuku, bila ya kufahamu, bila ya kujua
бессознательный
bila ya kufahamu, -si-o-kusudiwa
бессонница
paramo la masingizi (ma-)
бесспорно
haibishiki, haikosi, bila shaka, kwa hakika
бесспорный
-a hakika, -a lazima, -si-o-kanika
бессрочный
-si-o na mpaka, -si-o na mwisho, -a daima
бесстрастие
uzembe (ед.), utepetevu (ед.)
бесстрастный
-tepetevu, -kavu
бесстрашие
ujahili (ед.), ujuba (ед.), ujasiri (ед.), ushujaa (ед.)
бесстрашный
juba, -kavu, sugu, jasiri, pasipo hofu, shujaa;
бесстрашный человек jagina (ma-), mjasiri (wa-), nyamaume (-)
бесстыдник
mpujufu (wa-), msihaya (wa-)
бесстыдный
-si-o na haya, -tovu -a haya;
бесстыдный человек asiye nа haya, hayawani (-; ma-), mtovu wa haya (wa-), fedhuli (ma-);
бесстыдная женщина mkware (wa-)
бесстыдство
utovu wa haya (ед.), ujuvi (ед.), ukavu (ед.)
бессчетный
-si-o-hesabika, -ingi mno
бестактность
inda (-), tusi (ma-), ubaka (mbaka), udadisi (ед.), ujuvi (ед.), unyambi (eд.)
бестактный
-enye inda;
бестактный человек mshaufu (wa-)
бесталанный
-si-o na kipaji
бестолковость
ubahaluli (ед.), ubahau (ед.), uzito (ед.)
бестолковый
afkani, -jinga, -а kipumbavu;
быть бестолковым -pumbaa
бестолочь
mtini (wa-)
бесформенный
bila sura;
бесформенное вещество masi (-)
бесхарактерный
teke;
бесхарактерный человек mtu teke (wa-), kifefe (vi-);
быть бесхарактерным -tepeta
бесхозяйственность
usimamizi mbovu (ед.), matumizi mabaya (мн.)
бесхозяйственный
-a kuponda mali, -a kuchezea mali
бесцельно
msegemnege, bila shabaha
бесцельный
-a bure, -tupu, -si-o na shabaha (nia, kusudi) maalum
бесценность
1) (большая ценность) thamani kubwa mno (-), ubora (ед.)
2) (незначительность) uhafifu (ед.)
бесценный
1) (очень ценный) -a thamani kubwa, bora sana, -si-o-nunulika kwa fedha
2) (малоценный) hafifu, -si-o-faa
бесцеремонность
fedhuli (ma-), salata (-)
бесцеремонный
fedhuli;
бесцеремонный человек fedhuli (ma-), mtani (wa-);
бесцеремонно интересующийся чужими делами человек jasusi (ma-);
быть бесцеремонным -fedhulika
бесчеловечно
kinyama, kwa uhabithi
бесчеловечность
uhabithi (ед.), unyama (eд.), ukatili (ед.), ujahili (ед.), ukorofi (ед.)
бесчеловечный
katili, -а kinyama, -kali, -korofi
бесчестить
-adhiri, -beja, -fedhehi, -hizi, -kashifu, -najisi, -nazaa, -stihizai, -tehemu, -tengura -tia aibu, -tusha, -tuzua, -tweza;
бесчестить себя -jitusha
бесчестность
hiana (-), mabaya (мн.), mawi (мн.)
бесчестный
hiana;
бесчестный поступок nazaa (-);
бесчестные поступки mabaya (мн.);
бесчестный человек habithi (ma-), mwana hizaya (wa-)
бесчестье
aibu (-), fedheha (-), haya (-), hizaya (-), izara (-), janaa (-), junaa (-), maumbufu (мн.), nazaa (-), tua (-)
бесчинство
ukatili (ед.), uhalifu (ед.), ujeuri (ед.)
бесчинствовать
-fanya ukatili (ujeuri, uhalifu), -katili
бесчисленный
-si-ohesabika, bila idadi, tepe, -ingi mno
бесчувственность
ugumu (ед.), ukavu wa moyo (ед.)
бесчувственный
(человек) kuduku (-), asiye na huruma
бесшумно
njongwanjongwa, bila kilele
бесшумный
-si-o na mlio;
быть бесшумным -sukutu
бетон
konkriti (-), zege (ma-), saruji (-)
бетонировать
-sakifu, -tia zege, -tia saruji
бетонный
-a zege, -a saruji, -a konkriti;
бетонный раствор makokoto уа kupigilia (мн.)
бетономешалка
mashine ya kuchanganya mchanga na saruji kupata zege (-)
бечевка
kamba (-), kitembwe (vi-), ugwe (n[yu]gwe), kifunga (vi-)
бешенство
1) (ярость) ghadhabu (-), kani (-), wazimu (ед.)
2) (мед.) kalab (-)
бешеный
1) (больной бешенством) -li-o-patwa na ugonjwa wa kalab
2) (неистовый) harabu, -kali
3) (гневный) -a ghadhabu, -li-o-shikwa na hasira, -kali

Лексиконы языков: праязыков | древних | угасших | современных | модельных
Лингвистические страницы: Языки мира | Письменности | Интерлингвистика | Основания языка | Компаративистика | Контактология | Экстралингвистика | Лексикология | Грамматика | Фонетика
Полезные страницы: История | Регионы | Карты | Энциклопедии

© «lexicons.ru», 2012. Автор и владелец - Игорь Константинович Гаршин (см. резюме).
Дочерний веб-проект Сайта Игоря Гаршина
Присылайте, пожалуйста, письма ( Письмо Игорю Константиновичу Гаршину) с советами, отзывами, замечаниями и предложениями.
[an error occurred while processing this directive]
Страница обновлена 27.09.2022
Яндекс.Метрика