Русско-суахилийский словарь на А

Главная > Словари живых языков > Современные языки на С > Лексикон суахили > на букву А
Русско-суахилийский словарь: А | БА | БИ | В | ВО | ВС | Г | ДА | ДИ | Е, Ё | Ж | З | И, Й | К | КО | Л | М | НА | НЕ | О | ОП | ПА | ПО | ПОЛ | ПРА | ПРО | ПС | РА | РВ | С | СК | СО | СТ | Т | У | Ф | Х | Ц | Ч | Ш | Щ | Э | Ю | Я | Топонимы

Перевод русских слов на А на бантусский межплеменной язык суахили (зона G языков банту). Всего слов - 625 + 13.

а
ila, na, waila;
а ведь kumbe;
а именно kama vile, maana yake, yaani
абажур
chengeu (vy-), kifuniko cha taa (vi-), kingio ya taa (-), shungi la taa (ma-)
аббат
kasisi (ma-), padre (ma-), kahini (ma-)
аббревиатура
fupisho (ma-), kifupisho (vi-), mfupisho (mi-)
абзац
aya (-), fasili (-), fungu (ma-), ibara (-), kifungu (vi-), sehemu (-)
абиссинец
Mhabeshi (wa-)
Абиссиния
Uhabeshi (ед.)
абитуриент
mwenye kushindania nafasi ya kusoma chuoni (wenye)
абонемент
hati ya kupata huduma kwa muda fulani (-)
абонент
(библиотеки) msomaji wa kawaida (wa-), mtumiaji wa maktaba (wa-), mwazimaji (wa-);
(телефона) mwenye simu (wenye)
абонировать
-agiza mapema
абориген
mborigini (wa-), mshenzi (wa-), mwenyeji (w-), mzaliwa (wa-)
аборт
kuharibu mimba, kutoa mimba;
делать аборт -avya mimba, -haribu mimba, -toa mimba
абрикос
(плод) aprikoti (ma-)
абрикосовый
-a aprikoti
абсолют
kipeo (vi-), kilele (vi-) (перен.)
абсолютизм
utawala kamili wa mfalme (tawala)
абсолютно
halisi, kabisa, kenyekenye
абсолютный
halisi, hasa, -а kikamilifu;
абсолютная величина thamani halisi (-)
абсорбент
kisharabio (vi-)
абсорбировать
-fyonza, -sharabu
абсорбция
ufyonzaji (ед.), usharabu (ед.)
абстрактный
-а kuwazika tu
абстракция
dhahania (-)
абсурд
upuuzi (ед.), upumbavu (ед.), mapiswa (мн.), pwaji (-)
абсурдный
-a upuuzi, -a upumbavu
абсцесс
jipu (ma-), tambazi (ma-);
(в горле) halula (-)
абсцисса
jiramlalo (ma-)
авангард
mstari wa mbele (mi-);
(воен.) doria (-), watangulizi (мн.);
быть в авангарде -wa mstari wa mbele
авангардный
-a mbele
аванпорт
kituo cha nje (vi-)
аванпост
kituo cha mbele (vi-)
аванс
advansi (-), karadha (-), masurufu (мн.;
-)
авансировать
-harijia, -toa advansi, -toa karadha
авансовый
-a advansi, -a karadha
авансцена
jukwaa wazi la mbele (ma-)
авантюра
shani (-), jambo la hatari (mambo);
(воен.) kamari na vita (-)
авантюризм
hali ya ujasiri (-), kucheza kamari
авантюрист
mzizimizi (wa-), mcheza kamari (wa-)
авантюрный
-a hatari, -a kujihatarisha
аварийность
hali mbaya inayoweza kuleta ajali (-)
аварийный
-na-o-weza kuleta ajali
авария
ajali (-), shani (-), tukio la ajali (ma-), vunjiko (ma-);
(небольшая) mbanjo (mi-)
август
Agosti (-)
августовский
-a Agosti
авдотка
chekeamwezi (-)
авиабаза
kituo cha ndege za kivita (vi-)
авиабилет
tikiti ya ndege (-), tikiti ya eropleni (-)
авиабомба
bomu (ma-)
авиадесант
1) (высадка) kutelemka kwa askari wa miavuli
2) (личный состав) kikundi cha askari wa miavuli (vi-)
авиадиспетчер
mwongozaji wa safari za ndege (wa-)
авиазавод
kiwanda cha ndege (vi-), kiwanda cha kutengeneza eropleni (vi-)
авиакомпания
kampuni ya ndege (-)
авиаконструктор
muundaji wa eropleni (wa-), mtengenezaji wa eropleni (wa-)
авиалиния
njia ya kawaida ya ndege (-)
авиаматка
eropleni ya kubebea ndege nyingine (-)
авиамоделизм
uundaji wa modeli za ndege (ед.)
авиамоделист
mwundaji wa modeli za ndege (wa-)
авиамодель
modeli ya ndege (-), modeli ya eropleni (-)
авианосец
manowari уa kubebea ndege (-)
авиаотряд
kikosi cha eropleni (vi-)
авиапассажир
abiria wa ndege (ma-;
-), abiria wa eropleni (ma-;
-)
авиасвязь
mawasiliano kwa kutumia eropleni (мн.)
авиасъемка
upigaji wa picha kutoka eropleni (ед.)
авиатор
mwanahewa (wa-), rubani wa ndege (ma-)
авиатрасса
njia ya kawaida ya ndege (-)
авиационный
-a eropleni, -a ndege
авиация
jeshi la ndege (ma-), uanahewa (ед.)
авиачасть
kikosi cha jeshi la ndege (vi-)
авиашкола
shule ya kufundisha marubani (-), shule ya kufundisha wanahewa (-)
авитаминоз
ugonjwa wa ukosefu wa vitamini (ma-), ukosefu wa vitamini (ед.), maradhi уа upungufu vitamini (мн.)
авокадо
1) (дерево) mlangalanga (mi-), mparachichi (mi-)
2) (плод) parachichi (ma-)
аврал
operesheni уа dharura (-)
авральный
-a dharura, -a ghafula
аврора
(поэт.) alfajiri (-), mapambazuko (мн.), uchao (ед.)
австралиец
mwenyeji wa Australia (w-)
австралийский
-a [kutoka] Australia
Австралия
Australia (-)
автобаза
kituo cha motokaa (vi-)
автобиографический
-a kuhusu maisha ya mtu mwenyewe
автобиография
tarijama (-), tawasifu (-)
автоблокировка
mfumo wa breki za kiotomatiki (mi-)
автобус
(пассажирский) motokaa уа abiria (-), autobasi (-), basi (ma-;
-);
(для перевозки пассажиров и грузов) matwana (-);
(подержанный, старой модели и т.п.) katara (ma-)
автобусный
-a basi
автогонки
resi ya motokaa (-), mbio za motokaa (мн.)
автогонщик
mwanaresi (w-)
автограф
hati (-), sahihi (-), saini (-)
автодворник
chombo cha kupangusa kioo (vy-)
автодело
ufundi wa magari (ед.)
автодорожный
-a kuhusu ujenzi na huduma za barabara
автодром
1) (испытательный) uwanja wa kujaribia motokaa (nyanja)
2) (место соревнований) uwanja wa kufanyika kwa mbio za motokaa (nyanja)
автозавод
kiwanda cha kutengeneza motakaa (vi-)
автоинспектор
ofisa wa polisi ya barabara (ma-)
автоинспекция
polisi ya barabara (-)
автокар
berenge lenye mota (ma-), toroli yenye mota (-)
автоколонна
msafara wa magari (mi-), msururu wa magari (mi-)
автокран
gari lenye krini (ma-), gari la kambarau (ma-)
автократ
jabari (-), mtawala wa pekee (wa-)
автократический
-a utawala wa pekee
автократия
utawala wa pekee (ед.)
автолюбитель
mwendesha wa gari la kibinafsi (wa-)
автомагистраль
barabara kuu (-)
автомат
1) (оружие) mzinga wa bombom (mi-), bombomu (-)
2) (аппарат) mashine уа kujiendesha yenyewe (-)
автоматизация
uletaji wa mashine ziendazo zenyewe (ед.)
автоматизированный
-a kiotomatiki, -a kujiendesha
автоматизировать
-tia mashine za kujiendesha
автоматика
zana za kujiendesha (мн.)
автоматический
-а kiotomatiki, -а kujiendesha, -а kufanya kazi mwenyewe
автоматчик
mpiga bombomu (wa-), askari wa kupiga bombomu (-;
ma-)
автомашина
motokaa (-), gari (ma-)
автомобилестроение
1) (процесс) utengenezaji wa motokaa (magari) (ед.)
2) (отрасль) viwanda vya kutengeneza magari (motokaa) (мн.)
автомобилист
mwendesha [wa] gari (wa-), dereva (ma-)
автомобиль
gari (ma-;
-);
подержанный автомобиль katara (ma-);
гоночный автомобиль kipigambio (vi-), motokaa ya resi (-);
автомобильное сиденье sofa (-);
легковой автомобиль motokaa уа abiria (-), motokaa (-), gari (ma-)
автомобильный
-a gari, -a motokaa
автономия
ujitawala katika mambo ya ndani (ед.), kujitawala katika mambo ya ndani
автономный
-a kujitawala -enyewe katika mambo ya ndani, -enye kujitawala -enyewe katika mambo ya ndani
автопилот
piloti ya kiotomatiki (-)
автопогрузчик
foko (-)
автопокрышка
mpira wa nje (mi-), tairi (-;
ma-)
автопортрет
picha ya mtu mwenyewe (-)
автоприцеп
trela (-;
ma-)
автопробег
см. <<автогонки>>
автор
mbuni (wa-), mtengenezaji (wa-), mtunga[ji] (wa-), mtunzi (wa-), mwandishi (wa-);
автор письма katabahu (-);
автор забитого мяча mfungaji (wa-)
авторалли
см. <<автогонки>>
авторемонтный
-a kurekebisha magari, -a kutengeneza magari
автореферат
muhtasari wa tasnifu (mi-)
авторитарный
-a utawala wa pekee
авторитет
(престиж, влияние) adhama (-), hadhi (-;
mа-), mamlaka (-;
ma-), mbwembwe (-), heshima (-)
авторитетный
mufti, -enye heshima, -enye hadhi
авторский
-a mtungaji, -a mwandishi, -a mbuni;
авторское право haki za mwandishi (мн.), haki za mbuni (мн.)
авторучка
kalamu уа wino (-), kalamu ya mfukoni (-), peni (-;
ma-)
автослесарь
makanika wa magari (ma-), fundi wa magari (ma-)
автострада
barabara уа magari (-), njia ya magari (-), njia kuu (-)
автотранспорт
magari (мн.)
автотрасса
см. <<автомагистраль>>
автоэскорт
msuluhu wa magari (mi-), mkururo wa magari (mi-)
агава
mkatani (mi-)
агенс
kitenda (vi-)
агент
ajenti (ma-), kaimu (ma-), mtumwaji (wa-), wakili (ma-)
агентство
shirika (ma-), wakala (-;
ед.);
агентство печати shirika la habari (ma-)
агентура
mtando wa maajenti (mi-)
агитатор
mchochezi (wa-), mshawishi (wa-)
агитационный
-a kushawishi, -a kueneza habari za ushawishi
агитация
ushawishi (ед.)
агитировать
(за кого-л., что-л.) -kampenia, -shawishi, -votesha
агнец
mwana wa kondoo (wana, waana)
агностик
mtu asiyeamini uwezekano wa kufahamu dunia (wa-)
агностицизм
nadharia ya kutoamini uwezekano wa kufahamu dunia (-)
агонизировать
-tapatapa, -wa na maumivu makuu
агония
maumivu makuu (мн.)
аграрный
-a kuhusu ukulima, -a kilimo
агрегат
mashine (-);
(бытового назначения) cherehani (-)
агреман
kibali (vi-)
агрессивность
ugomvi (ед.), ushambulizi (ед.), tadi (-)
агрессия
hujuma (-), uchokozi (ед.), ushambulizi (ma-), utadi (ед.)
агрессивный
-a hujuma, -a ugomvi, -a ushambulizi, -a uchokozi;
быть агрессивным -jitapa
агрессор
mchokozi (wa-), mkatili (wa-), mshambuliaji (wa-), mvamizi (wa-), mleta vita (wa-)
агроном
mtaalamu wa ukulima (wa-), bwana shamba (ma-;-)
агрономия
elimu ya ukulima (-)
агропромышленный
-a kuunganisha kilimo na viwanda
агротехник
mtaalamu wa ukulima (wa-), fundi kilimo (ma-), bwana shamba (ma-;
-)
агротехника
ustadi wa ukulima (ед.), elimu ya ukulima (-)
агрохимия
matumizi уа madawa уа shambani (мн.), ufundi wa kemistri katika ukulima (ед.)
ад
jahanamu (-), jahim[u] (-)
Адам
Adam[u]
адамово яблоко
kongomeo (ma-), koromeo (ma-;
-), dundumio (-), zoloto (-)
адаптация
uzoefu (ед.), kujizoeza
адаптер
adapta (-)
адаптироваться
-endekeza, -jirekebisha, -jizoelea, -zoea
адвокат
mnenea (wa-), mwanasheria (w-), mwombezi (wa-), wakili (ma-)
адекватный
kufu, -linganifu
аденоиды
halula (-), uvimbe kooni (ед.)
адепты
umati (ед.), wafuasi (мн.), wafuataji (мн.), mafuatano (мн.)
адиорикс
kitatange (vi-)
административный
-a uendeshaji, -a utawala;
административная структура muundo wa uendeshaji (mi-);
административная единица tawala (-);
административная работа uhazili (ед.);
административное деление tawala (-);
административное здание jengo la utawala (ma-);
административный район города wadi (-);
административный служащий ofisa mwendeshaji (ma-)
администратор
1) (чиновник) meneja (ma-;
-), msajili (wa-), msimamizi (wa-), mwendeshaji (wa-), ofisa tawala (ma-)
2) (гостиницы) mpokezi (wa-), mpokeaji katika hoteli (wa-)
3) (наследства) kabidhi wasii mkuu (-)
администрация
hukumu (-), wasimamizi (мн.), serikali (-), tengenezo (ma-), uendeshaji (ед.), utawala (tawala)
администрировать
-tawala, -endesha, -simamia
адмирал
admeli (ma-)
адрес
anwani (-)
адресат
(речи, выступления) mzungumziwa (wa-);
(письма) anayepelekewa barua
адресовать
-tia anwani, -pelekea
адский
-a jahanamu;
(перен.) -kali, -gumu;
адское дерево (плодами к-рого якобы будут питаться грешники) zakumu (-)
адъютант
mpambe (wa-), akida (ma-)
ажиотаж
kukuru (-)
азарт
harara (-)
азартный
-a harara;
азартный игрок mcheza kamari (wa-)
азбука
abeche (-), alfabeti (-);
азбука Морзе alama za simu ya upepo (мн.)
азбучный
-a alfabeti;
(перен.) rahisi, -bainifu
азиат
Mwasia (wa-)
азиатский
-а Kiasia, -a Asia
азимут
uelekeo (ед.;
ma-)
Азия
Asia (-)
азот
naitrojeni (-)
аист
kongoti (-;
ma-)
айсберг
pande lа barafu (ma-)
академик
mtalamia (wa-), mwanaakademia (w-)
академический
-a kiakademia, -a kisayansi
академичный
-a kinadharia
академия
akademia (-);
Академия наук Taaluma уа Sayansi (-), Akademia ya Sayansi (-)
акация
(виды) mgunga (mi-), mjatete (mi-), mkamba[l]a (mi-), kikwata (vi-);
черная акация mlingo (mi-);
длиннолистная акация mwati (mi-)
акварель
rangi уа maji (-)
акватория
eneo la maji (ma-)
акведук
bomba la maji (ma-), mfereji wa maji safi (mi-)
акклиматизация
kujizoeza hali ya hewa (ед.), kujizoelea mazingira
акклиматизироваться
-zoea, -jizoelea hewa
аккомпанемент
(муз.) vishuo (мн.), ufuasi (ед.)
аккомпанировать
-endekeza, -fuata
аккорд
mjumuiko wa lahani (mi-), mchanganyo wa tuni (mi-)
аккордеон
akodioni (-)
аккредитив
hawala (-)
аккумулировать
-kusanya, -limbika, -dunduliza;
аккумулировать солнечную энергию -nasa nguvu za umeme kutoka kwenye jua
аккумулятор
beteri (-)
аккумуляция
ukusanyaji (ед.), ulimbikizaji (ед.)
аккуратно
kwa unadhifu, kwa utuvu, barabara, kwa ukamilifu, polepole, kwa utaratibu
аккуратность
nadhafa (-), siasa (-), tasifida (-), tora (-), unadhifu (ед.), usabihi (ед.), usadifu (ед.), usahihi (ед.), utuvu (ед.), utaratibu (ед.), uangalifu (ед.), usafi (ед.), utanashati (ед.)
аккуратный
1) (точный) -angalifu, madhubuti, mahususi;
аккуратный человек msarifu (wa-);
аккуратная работа kazi sawa (-)
2) (опрятный) nadhifu, -tanashati, safi
акр
ekar[i] (-)
акробат
akrobati (ma-);
акробатическое представление sarakasi (-)
акробатика
uakrobati (ед.)
акселератор
kichapuo (vi-)
акселерация
mchapuko (mi-), uchapuzi (ед.), uharakishaji (ед.)
аксессуар
kifaa (vi-), kishiriki (vi-)
аксиома
ukubalifu (ед.), hakika (-)
акт
1) (документ) itifaki (-), protokali (-), waraka (nyaraka), hati (-)
2) (действие) kitendo (vi-), mpango (mi-), mtendo (mi-), tendo (ma-), amali (-)
3) (театр.) kitendo (vi-), sehemu ya mchezo (-)
4) (половой) kitendo cha kuzini (vi-)
актер
mchezaji (wa-), mwigizaji (wa-), mcheza (wa-)
актив
1) (фин.) rasil[i]mali (-)
2) (люди) watendaji (мн.), wanaharakati (мн.)
активизация
uhimiz[w]aji (ед.), ufufuo (ед.)
активизировать
-fu[l]uliza, -himiza, -tia mkiki, -ongeza juhudi, -zidisha juhudi
активизироваться
-jihimiza, -ongeza juhudi, -zidisha juhudi
активист
mwanaharakati (w-), kada (ma-;
-), kiongozi (vi-), mtendaji (wa-), mwenye juhudi (wenye)
активно
hodari, kimatendo, kwa bidii, kwa juhudi
активность
ari (-), bidii (-), mkiki (-;
mi-), mkikimkiki (mi-), utendaji (ед.)
активный
-amilifu, -epesi, hodari, -а kimatendo;
активная деятельность kazi moto (-);
активный участник mshirika shupavu (wa-);
быть активным -chanjaruka;
быть неактивным -kaakaa
актуально
kisasa
актуальный
-а kisasa
акула
papa (-);
(виды) kapungu (-), pingusi (-;
ma-);
вяленая акула kinegwe (-);
кошачья акула papa chui (-);
малая черноперая акула sumbwi (-);
песчаная акула kinegwe (-)
акулохвост
(азиатский) fuanda (-)
акустик
mtaalamu wa akustiki (wa-)
акустика
akustiki (-)
акустический
-a akustiki
акушерка
mkunga (wa-), mzalisha (wa-)
акушерство
elimu уа ukunga (-), ukunga (ед.)
акцент
1) (произношение, выговор) lafudhi (-), lahaja (-), tamko (ma-)
2) (ударение) mkazo (mi-);
речевой акцент mkazo wa sauti (mi-);
делать акцент на чем-л. -tia mkazo, -tilia mkazo, -weka mkazo, -wekea mkazo
акцентировать
-sisitiza, -tia nguvu, -tia mkazo
акцепт
(экон.) kibali cha kufanya mkataba wa kibiashara (vi-)
акциз
kodi (-), ushuru (ед.)
акционер
mwenye hisa (wenye), mshiriki mali (wa-)
акционерный
-a bia, -a hisa
акция
1) (ком.) hisa (-)
2) (действие) kitendo (vi-), tendwa (-)
алгебра
aljebra (-)
алгебраический
[-а] kialjebra
алгоритм
kawaida (-), utaratibu wa kufumbua fumbo (taratibu)
алект
kijogoo (vi-)
алеть
-piga wekundu, -iva (перен.)
алиби
udhuru (ед.), ushahidi wa kutohusika na jinai (ед.)
алидада
alidedi (-)
алименты
haraja (-), ruzuku kwa mke aliyeachwa na mumewe (-)
алиф
(первая буква арабского алфавита) alifu (-)
алкоголизм
ugonjwa wa ulevi (ma-)
алкоголик
mlevi [wa] kupindukia (wa-);
быть алкоголиком -lewa
алкоголь
alkoholi (-), kileo (vi-), ulevi (ед.)
алкогольный
-a ulevi;
алкогольное отравление sumu уа ulevi (-);
алкогольные напитки (собир.) tembo (-);
алкогольный напиток mnywo (mi-), sharabu (-);
(виды напитков) uraka (ед.), pombe (-), boza (-), gongo (-), akari (-), waragi (-), ndaza (-), konyagi (-), piwa (-), chibuku (-)
Аллах
Allah (-), bwana (ma-;
-), Illahi (ед.);
Аллах велик Allah akbar
аллегорический
-a mfano, -a fumbo, -a majazi, -a istiara
аллегория
fumbo (ma-), istiara (-), majazi (мн.), methali (-), mfano (mi-), tashibihi (-)
аллергия
ugonjwa wa kutovumilia kitu fulani (ma-)
аллигатор
aina ya mamba katika Amerika Kusini (-)
аллигаторова груша
1) (дерево) mlangalanga (mi-), mparachichi (mi-)
2) (плод) parachichi (ma-)
аллилуйя
aleluya, haleluya
аллитерация
takariri ya vina (-)
аллофон
alofoni (-)
аллювиальный
-а kitope
аллювий
kitope (ед.)
аллюр
mwendo wa tunga (mi-)
алмаз
almasi (-), merimeri (-)
алоэ
mshubiri (mi-), udi (ед.)
алтарь
altare (-), madhabahu (-), patakatifu
алфавит
abeche (-), alfabeti (-), herufi (-), tahijia (-);
(арабский) abtathi (-), abjadi (-);
алфавитный
-a kufuata alfabeti;
алфавитный порядок mpango wa alfabeti (mi-)
алхимик
mkemia mchawi (wa-)
алчно
nyiminyimi, kwa uchoyo, kwa pupa
алчность
choyo (ед.), papio (-), pupa (-), tamaa (-), ubuge (ед.), uchoyo (ед.)
алчный
(человек) mlaji (wa-), mtu wa tamaa (wa-), mwenye roho (wenye), mchoyo (wa-);
быть алчным -bokoka, -wa na roho (перен.)
алый
-ekundu
альбинос
mtu wa kimazeru (wa-), zeruzeru (ma-)
альбом
kitabu cha kutilia picha (vi-)
альбумин
uteyai (ед.)
альков
kataa уа chumba (-), bacha (ma-), daka (ma-)
альманах
takwimu (-)
альпинизм
kuparamia milima, kupanda milima
альпинист
mpanda milima (wa-)
альтернатива
chaguo (ma-), hitiari (-)
альтернативный
-ingine, -a pili, -enye hitiari ya mambo mawili
альтруизм
kupenda wengine kuliko nafsi yake
альтруист
mwangalizi wa maslahi ya watu wengine (wa-)
альфа
(первая буква греческого алфавита) alfa (-)
альянс
mwingamano (mi-), muungano (mi-), afikiano (ma-)
алюминиевый
-a aluminiamu
алюминий
aluminiamu (-)
амазонка
amazon (-;
ma-)
амарант
(колючий) bwache (-), mchicha (mi-)
амбар
bohari (-;
ma-), ghala (ma-;
-)
амбиция
majikwezo (мн.), kiburi (ед.), kimene (ед.), majivuno (мн.)
амбра
ambari (-)
амбразура
tundu (ma-), tobo (ma-)
амбре
1) (приятный запах) harufu (-), ituri (-), manukato (мн.), nukio (ma-)
2) (дурной запах) mnuko (mi-), ukuba (ед.), uvundo (ед.)
амбулатория
dispensari (-), zahanati (-)
амбушюр kilimi (vi-), mtapa (mi-), nari (-)
амеба
amiba (-)
Америка
1) Amerika (ед.);
Южная Америка Amerika уа Kusini (ед.)
2) (США) Marekani (-), Muungano wa Nchi za Amerika (mi-)
американец
Mmarekani (wa-), Mwamerika (wa-)
американский
-а kimarekani, -a kiamerika
аметист
yakuti (-;
ma-)
амилаза
amilesi (-)
аминокислота
asidi amino (-)
аминь
amin[a]
аммиак
amonia (-)
амнион
zalio (ma-)
амнистировать
-ра msamaha, -samehe, -achilia huru, -hurumia
амнистия
msamaha (mi-), kuachilia huru
аморальность
asherati (-), uzinifu (ед.), ufisadi (ед.)
аморальный
-zinifu, -a asherati;
аморальный образ жизни tembezi (ma-);
аморальный поступок fuska (-);
аморальный человек fisadi (ma-)
амортизатор
shokomzoba (-)
амортизация
1) (эк.) upunguz[w]aji wa thamani ya vifaa kutokana na kufukaa kwake (ед.)
2) (тех.) uchakavu (ед.)
3) (удара, потрясения) ulainishaji wa pigo (ед.), kuzimua kwa mkutuo
амортизировать
-nyumbuka
аморфный
bila sura
ампер
ampea (-)
амперметр
ameta (-)
амплитуда
mfiko (mi-), mzagao (mi-), tambo (-;ma-)
ампула
kichupa (vi-)
ампутация
mkato (mi-)
ампутировать
-kata
амулет
amali (-), azima (-), fingo (ma-), hirizi (-), kago (ma-), kinga (-), mpagaro (mi-), pagao (ma-), pingu (-;
ma-), talasimu (ma-), tambavu (ma-;
-), mdundugo (mi-), usira (ед.), pigi (-;
ma-);
делать амулет -azimu
амуниция
(людская) mavazi ya askari (мн.);
(конская) lijamu na kigwe cha kuongozea farasi
амфибия
amfibia (-);
(воен.) chombo chenye kuweza kupita nchi kavu na majini (vi-)
амфитеатр
sehemu ya kati ya ukumbi wa masirahi (-)
анаболизм
anaboli (-)
анакард
mbibo (mi-), mkanju (mi-), mkorosho (mi-)
анализ
1) (исследование) mchanganuo (mi-), uchambuzi (ед.), uchanganuo (ед.), uchunguzi (ед.)
2) (крови, мочи и т.п.) upimaji (ед.);
анализ крови upimaji damu (ед.)
анализировать
-chambua, -changanua, -hakiki, -tikisa, -chungua
аналитик
mchambuzi (wa-), mchunguzi (wa-)
аналитически
kiuchambuzi
аналитический
-а kimchanganua, -а uchambuzi
аналог
kifano (vi-), kitu kilinganifu (vi-)
аналогичный
-a kulinganika, -a kufanana, -moja
аналогичность
kumoja (ед.), ulinganifu (ед.), ufananisho (ед.)
аналогия
tamthili (-), ufananaji (ед.), mfanano (mi-)
аналой
marufaa (-)
ананас
1) (дерево) mnanasi (mi-)
2) (плод) nanasi (ma-)
анархизм
nadharia ya kubatilisha utawala wa serikali (-), mafunzo ya kuleta fujo na kuondosha utawala wa serikali (-)
анархист
mfitini (wa-), anayeleta fujo, mfujaji (wa-)
анархический
-a kuleta fujo, -a kubatilisha utawala wa serikali
анархия
fujo (ma-), ukosefu wa utaratibu (ед.), ukosekano wa utawala (ед.);
полная анархия fujofujo (ma-)
анатомический
-a kuhusu elimumwili
анатомия
anatomia (-), elimumwili (-)
анафема
hizaya (-), laana (ma-), shonga (-), ulaanifu (ед.)
анахорет
mweremita (wa-)
анахронизм
masao (мн.)
анахронический
-si-o-tumika siku hizi, -kongwe
ангар
banda lа ndege (ma-), kibanda cha ndege (vi-)
ангел
malaika (-);
ангел смерти munkari (-), nduli (-);
ангел-хранитель malaika wa ulinzi (-)
ангина
halula (-), ugonjwa wa koo (ma-)
английский
-а kiingereza;
английский язык Kiingereza (ед.), kimombo (vi-);
английская соль chumvi уа haluli (-), haluli уа chumvi (-)
англиканский
-a Anglikana;
англиканская церковь Kanisa la Anglikana (ma-);
англиканский священник padri (ma-)
англичанин
Mwingereza (wa-)
Англия
Uingereza (ед.)
андроген
androjeni (-)
анекдот
hekaya (-), kichekesha (vi-), mzaha (mi-), utani (ед.)
анемия
upungufu wa damu (ед.), safura (-)
анемометр
kipande cha kupimia nguvu za upepo (vi-)
анестезировать
-tia ganzi, -fisha ganzi, -ganzisha, -singizisha mgonjwa
анестезия
ganzi (-;
ma-), nusukaputi (-)
анималист
mchoraji wa wanyama (wa-)
анкета
fomu (-), hati (-), hojaji (-), kidadisi (vi-)
анкилостомидоз
safura (-)
анналы
tarehe (-), habari za zamani (мн.)
аннато
mzingifuri (mi-)
аннексировать
-chukua kwa nguvu, -nyang'anya, -tenga
аннексия
uchukuaji kwa nguvu (ед.), uonezi (ед.), kunyang'anya
аннотация
maelezo (мн.), muhtasari (mi-)
аннотировать
-pitia
аннулирование
kitanguo (vi-), mbatilisho (mi-), mtanguo (mi-), tanguo (ma-), ubatilishaji (ma-)
аннулировать
-batili, -fusahi, -futa, -ghairi, -harimu, -ondoa, -vunja;
аннулировать договор -tangua mkataba
анод
anoda (-)
аномалия
kitu kisicho cha kawaida (vi-), kiroja (vi-), simo (-)
аномальный
-si-o wa kawaida, -a ajabu
анона
1) (дерево) konokono (-), mstafeli (mi-), mtokwe (mi-);
анона сетчатая mtomoko (mi-);
анона чешуйчатая mtopetope (mi-)
2) (плод) stafeli (ma-), konokono (-)
аноним
asiyetaja jina lake
анонимка
barua ya kusingizia isiyosainiwa (-)
анонимно
kisiri, bila ya kutaja jina
анонимный
bila ya jina la mwandishi (mtungaji), -si-o- julikana jina lake
анонс
tangazo (ma-), mgambo (mi-), unadi (ед.)
анонсировать
-tangaza, -arifu
ансамбль
kikundi (vi-);
музыкальный ансамбль bendi (-);
ансамбль национального танца kundi la ngoma za kienyeji (ma-)
антагонизм
uhasama (ед.), ushindani (ед.), husuma (-)
антагонистический
-a kupinga, -a kushindana na, -a uhasama
Антарктида
Antarktiki (-)
антенна
erieli (-), waya уа redio (-;
nyaya);
антенна телескопическая erieli уа kuchomoa (-)
антибиотик
kiuavijasumu (vi-), ngaomwili (-)
антивоенный
-a kupigana na vita, -a kupinga vita
антидемократический
-a kupigana na demokrasi, -a kupinga demokrasi
антидот
dawa уа kutopoa (-;
ma-)
антиимпериалистический
-a kupigana na ubeberu, -a kupinga ubeberu
антиквар
1) (коллекционер) mkusanyaji wa vitu vya kikale (wa-)
2)(торговец) mwuza wa vitu vya kikale (wa-)
антикварный
-а kikale
антиклиналь
kunjo kigongo (ma-)
антикоммунистический
-a kuchukiza ukomunisti, -a kupigana na ukomunisti, -a kupinga ukomunisti
антилогарифм
kinyume logi (vi-)
антилопа
(виды) hirola (-), kulungu (-), topi (-), mbawala (-), mindi (-), funo (-);
антилопа- гну nyumbu (-);
антилопа-дукер paa (-), paa nuaga (-);
антилопа-канна mpofu (-);
антилопа-куду malu (-), tandala (-);
антилопа-орикс pofu (-);
антилопа-суни paa (-);
болотная антилопа tohe (-);
капская антилопа mbungu (-);
саблерогая антилопа palahala (-);
тростниковая антилопа tohe (-);
черная антилопа mbarapi (-)
антинародный
-a kinyume cha hiari ya watu
антипатичный
(человек) bweshu (ma-)
антипатия
chuki (ед.), chukio (ma-), karaha (-)
антипод
kitu kinachohitilafiana kabisa na kingine (vi-)
антирелигиозный
-enye kupinga dini, -a kukana Mungu
антисанитария
masakasaka (мн.), hali уа uchafu (-)
антисемит
anayedharau Wayahudi
антисемитизм
tabia ya kuwabughudhi Wayahudi (-)
антисептик
kiuavijidudu (vi-)
антитеза
kinyume (vi-), tabaini (-)
антифашист
mpingaji wa ufashisti (wa-)
антициклон
kitengua kimbunga (vi-)
античный
-na-o-husu utamaduni wa Wayunani na Warumi
антология
diwani (ma-), makusanyo уа maandishi (мн.), koja la mashairi (ma-)
антоним
kinyume (vi-), neno lenye maana tofauti kabisa (ma-)
антракт
(театр.) breki (-), kitulio (vi-)
антрацит
makaa magumu (мн.)
антрепренер
mwenye sarakasi au masirahi (wenye)
антресоль
mahali kwenye dari pa kuwekea na kuhifadhia vitu
антропология
elimu ya watu, asili , mabadili na maendeleo yao (-)
антураж
mazingira (мн.), kitende (vi-), mastakimu (мн.)
анус
(анальное отверстие) mkundu (mi-), mwaranda (mi-), tundu (ma-;
-)
анфас
mkabala wa, soli, uso kwa uso, ana kwa ana
аншлаг
(театр.) hali ambapo tikiti zote zimeuzwa (-)
аншпуг
mshamo (mi-)
аорта
aorta (-)
апартаменты
fleti ya vyumba vikubwa na vyenye nafasi nyingi (мн.)
апатичный
tepetepe, -tepetevu, -vivu, poroja;
быть апатичным -sinzia, -tepeta
апатия
utepetevu (ед.)
апеллировать
-taka rufani, -taka hukumu ya jaji mkuu
апеллянт
mrufani (wa-), mtaka rufani (wa-), mwombaji (wa-)
апелляционный
-a rufani;
апелляционный суд mahakama уа rufani (-), korti ya rufaa (-)
апелляция
rufani (-), maombi (мн.)
апельсин
1) (плод) chungwa (ma-)
2) (дерево) mchungwa (mi-)
аплодировать
-piga makofi, -piga vifijo
аплодисменты
makofi (мн.), vifijo (мн.)
апломб
kinaya (-), uthubutifu wa kupita kiasi (ед.)
апогей
kikomo (vi-), kikomoupeo (vi-), kilele (vi-), mnara (mi-), kipeo (vi-), ncha ya juu (-)
Апокалипсис
ufunuo (ед.)
аполитичность
kutoshughulikia siasa, tabia ya kutopenda siasa (-), kutojali siasa
аполитичный
-si-oshughulikia siasa, baridi kwa siasa
апологет
mteteaji (wa-), mwunga mkono (wa-), mpenzi (wa-)
апоплексический
(удар) maradhi ya ghafula (мн.), kifafa (vi-)
апоплексия
kifafa (vi-), maradhi ya ghafula (мн.)
апостол
mtume (mi-), rasuli (-)
апостроф
alama уа mkato juu (-), apostrofi (-)
апофема
kimo (vi-)
аппарат
1) (прибор) chombo (vy-), mtambo (mi-), seti (-), mashine (-);
проекционный аппарат mashine ya kuonyesha filamu (-);
доильный аппарат ukamio (ед.);
рентгеновский аппарат mtambo wa kumulikia (mi-)
2) (люди) maofisa (мн.), watendaji (мн.)
аппаратная
maabara уа аla (-)
аппаратура
vifaa (мн.), vyombo (мн.), zana (-)
аппаратчик
(перен.) mtendaji (wa-), ofisa (ma-)
аппендикс
kibole (vi-), kidoletumbo (vi-)
аппетит
hamu уа kula (-), njaa (-);
повышенный аппетит ujapongo (ед.)
аппетитный
-a kuleta hamu ya kula, -a kukolea
аппликация
nakshi (-);
(на ткани) kipambio (vi-)
аппроксимация
kadirio (ma-)
апрель
Aprili (-)
априори
1) (филос.) bila ya kutegemea maarifa
2) (перен.) bila ya kusahihisha mapema, bila ya kutayarisha mapema
априорный
(филос.) -si-o-tegemea maarifa
апробированный
mjarabati, -li-o-jaribiwa
апсида
(мечети) kibla (-), mhirabu (mi-)
аптека
chumba cha dawa (vy-), duka la dawa (ma-), dispensari (-)
аптекарь
mgawaji dawa (wa-), mtoa dawa (wa-), mwuza dawa (wa-)
аптечка
seti ya madawa (-), mfuko wa madawa (mi-)
араб
Mwarabu (wa-), Mmanga (wa-);
(ист.) араб- торговец Msuli (wa-)
арабески
mchorochoro (mi-)
арабский
-а kiarabu, -a kimanga;
арабский чай mraa (mi-);
арабский язык Kiarabu (ед.), (распространенный в прошлом на о-ве Занзибар) Kimanga (ед.);
арабское письмо hati уа kiarabu (-);
арабские цифры tarakimu za kiarabu (мн.)
аравийский
-a kimanga, -a Uarabuni
Аравия
Ваrа Arabu (ma-), Manga (-), Uarabuni (ед.);
Аравийский полуостров Umanga (ед.)
арак[а]
(рисовая водка) araka (-)
арахис
1) (растение) mnjugunyasa (mi-), mnjugu (mi-)
2) (плод) karanga (-;
ma-), njugu (-);
дикий арахис payaya (-)
арба
gari lenye magurudumu mawili makubwa linalobururwa na nyama (ma-)
арбалет
upinde (pinde)
арбитр
1) (посредник) hakimu (ma-;
-), msuluhishi (wa-), mwamuzi (wa-), mpatanishi (wa-)
2) (спорт.) см. <<судья>>
арбитраж
maamuzi (мн.), suluhisho (ma-), upatanishi (ед.), usuluhishi (ед.)
арбуз
1) (растение) mtikiti (mi-)
2) (плод) tikiti (ma-)
арго
kihunzi (ед.), kinyume (ед.)
аргумент
1) (довод) buruhani (-), hoja (-), jadiliano (ma-), nadharia (-), ngonjera (-), teto (ma-), thibitisho (ma-;
-);
решающий аргумент makataa (мн.)
2) (мат.) hoja (-)
аргументация
mateto (мн.), hoja (-)
аргументировать
-toa hoja
арена
eneo (ma-), kitali (vi-), medani (-), kituo (vi-), kiwanja (vi-);
политическая арена jukwaa lа siasa (ma-)
аренда
kodi (-), lizi (-), mkodisho (mi-), ukodishaji (ед.), upangaji (ед.);
аренда земли unyarubanja (ед.), nyarubanja (-)
арендатор
mkodi (wa-), mkodishaji (wa-), mpanga (wa-)
арендный
-a kukodi;
арендная плата kodi (-), ushuru (ед.);
арендная плата землевладельцу за разработку недр mrabaha (mi-)
арендовать
-kodi, -panga
арест
kifungo (vi-), kizuizi (vi-), rumande (-), ukamataji (ед.), usakaji (ед.), utiwaji nguvuni (ед.);
наложение ареста на имущество taflisi (-), tanji (-)
арестант
mfungwa (wa-), mahabusi (-)
арестовывать
-weka kizuizini, -bamba, -kamata, -tiа nguvuni, -weka rumande, -tia mbaroni, -weka ndani
аристократ
mbora (wa-), mtoto wa watu (wa-), mtu wa ukoo ulio bora (wa-), mtu wa nasaba ya juu (wa-)
аристократический
-a nasaba ya juu
аристократия
watu wa nasaba ya juu (мн.)
арифметика
hisabati (-)
ария
wimbo wa mwimbaji mmoja (nyimbo)
арка
tao (ma-);
арочный мост zege (-)
аркан
tanzi (-;
ma-), utanzi (tanzi)
Арктика
Arktiki (-)
армада
wingi wa manowari (vifaru, ndege za kivita) (ед.)
арматура
kiunzi cha chuma kwa kutia zege (vi-)
армейский
-a kijeshi
армия
jeshi (ma-)
аромат
harufu (-), ituri (-), ladha (ед.), manukato (мн.), riha (-), udi (ед.)
ароматический
-a manukato;
ароматическая жидкость mmikio (mi-), tarabizuna (-), marashi (мн.);
ароматическое масло mafuta уа tarabizuna (мн.)
ароматный
-a manukato, -enye harufu nzuri
арроурут
wanga (-)
арсенал
ghala ya silaha (-)
артачиться
-kaidi, -shika kani
артезианский
-а ateshia;
артезианский колодец kisima cha ateshia (vi-)
артель
genge (ma-), ujima (ед.)
артерия
ateri (-)
артикулировать
-tamka;
артикулировать плохо -sema kichembe;
артикулировать хорошо -tongoa
артикуляция
tamko (ma-);
matamshi ( мн.)
артиллерийский
-a mizinga
артиллерист
mpiga mzinga (wa-)
артиллерия
mizinga (мн.), jamii ya mizinga (-)
артист
mwanasanaa (w-), mcheza (wa-), mchezaji (wa-), mstadi wa sanaa (wa-)
арфа
kinubi cha miguu (vi-)
арфист
mpiga kinubi cha miguu (wa-)
архаизм
1) kitu cha kikale (vi-), jambo la kikale (ma-)
2) (лингв.) neno lisilotumika siku hizi (ma-)
архаический
-a zamani sana, -a kikale
архангел
malaika mkuu (-)
археолог
mtaalamu wa elimu ya ubukuzi (wa-), mtaalamu wa utafiti wa vitu vya kale (wa-)
археология
elimu ya ubukuzi (-), akiolojia (-), elimu ya mambo ya kale (-)
архив
bohari уа tarehe (-), hifadhi (-), ofisi yа nyaraka za kale (-)
архивариус
mhifadhi nyaraka (wa-)
архиепископ
arkiaskofu (-), askofu mkuu
архиерей
kahini mkubwa wa kanisa la ortodoksi (ma-)
Архимед
Akimedesi
архипелаг
jamii ya visiwa vidogo (-)
архитектор
msanifu ujenzi (wa-), mbuni (wa-), mchoraji [wa] ramani za nyumba (wa-), msanifu wa ramani za majengo (wa-)
архитектура
jenzi (ma-), ujenzi (eд.);
архитектурный стиль mjengo (mi-)
архитектурный
-a ujenzi, -a kuhusu mtindo wa ujenzi
арык
mfereji wa kutia maji shambani (mi-)
арьергард
askari wa nyuma (мн.), walinzi wa nyuma (мн.)
ас
bingwa (ma-), hodari (ma-)
асбест
asbestasi (-)
асимметричный
-si-o na ulinganifu, -na-o-kosa mlingano
асимметрия
pogo (-;
ma-), ukosefu wa ulinganifu (ед.)
асимптота
ugo (nyugo)
аскарида
uchango (chango)
аскетический
-kinaifu, -kadirifu
аскорбиновый
askobi;
аскорбиновая кислота asidi askobi (-)
аспарагус
asparagasi (-)
аспект
fani (-), kando (-;
ma-), kipengele (vi-), mandhari (-;
мн.), sura (-)
аспирант
mzamili (wa-)
аспирантура
uzamili (ед.)
аспирация
mpumuo (mi-)
аспирин
asp[i]rini (-)
ассамблея
mkutano (mi-), baraza (ma-;
-) ;
Генеральная Ассамблея ООН Baraza Кuu lа Umoja wa Mataifa (ma-)
ассегай
sagai (-)
ассенизация
uchura (ед.)
ассигнация
noti (-), waraka wa benki (nyaraka), hati ya fedha (-)
ассигнования
gharama (-)
ассигновать
-gharimia, -harijia, -tenga fedha, -toa fedha
ассимилировать
-fananisha, -sawazisha;
(заимствованное слово) -tohoa
ассимилироваться
1) (терять национальную самоиденти- фикацию) -poteza jinsia, -poteza utaifa
2) (уподобляться, видоизменяться) -jisawazisha, -jifananisha na
ассимиляция
(народа) kupoteza kwa jinsia;
(биол.) mlishizo (mi-)
ассистент
msaidizi (wa-), mjima (wa-), mkufunzi (wa-);
(мед.) mganga mdogo
ассистировать
-saidia, -aviza, -auni
ассортимент
mchaguo (mi-), kusanyiko (ma-), orodha (-), hesabu (-)
ассоциация
1) (организация) chama (vy-), jumuia (-), shirika (ma-);
футбольная ассоциация chama cha soka (vy-)
2) (бот.) uhusiano (ma-)
ассоциировать
-unganisha katika fikira, -tia pamoja
астероид
asteroidi (-)
астма
ugonjwa wa pumu (ma-)
астматик
mgonjwa wa pumu (wa-), mkosefu wa pumzi (wa-)
астролог
majusi (ma-), mnajimu (wa-), mramali (wa-), mtabiri wa nyota (wa-)
астрология
falaki (-), ramli (-), unajimu (ед.), utabiri wa nyota (ед.)
астронавт
mwanaanga (w-)
астроном
mnajimu (wa-), mtaalamu wa nyota (wa-)
астрономический
-a unajimu, -a falaki, -a elimu ya nyota;
(перен.) -kubwa sana (mno)
астрономия
falaki (-), unajimu (ед.), elimu ya nyota (-)
астрофизика
fizikia ya nyota (-)
асфальт
bereu (-), lami (-);
асфальтированная дорога barabara уа lami (-)
асфальтировать
-tiа lami, -tia bereu
асфальтовый
-a lami
асфиксия
kukabwa roho, kuminywa koo
атавизм
marejeo ya tabia za asili (мн.)
атака
hujuma (-), shambulio (ma-), shambulizi (ma-);
стремительная атака dharuba (-;
ma-)
атаковать
-fanya hujuma, -fumua hujuma, -hujumu, -ramuka, -shambulia, -fanya mashambulizi, -vamia, -vizia;
тот, кто атaкует mshambuliaji (wa-)
атаман
mkuu (wa-)
атеизм
ukafiri (ед.), kutoamini Mungu
атеист
kafiri (ma-), mkana Mungu (wa-)
ателье
(художника) chumba cha mchoraji (vy-)
атеросклероз
mkakamao ateri (mi-)
атлантический
-a Atlantiki;
Атлантический океан Bahari уа Atlantiki (-)
атлас
1) (ткань) atlasi (-)
2) (геогр.) kitabu cha ramani (vi-), atlasi (-)
атласный
-a atlasi, kama atlasi
атлет
kakawana (ma-), mbeja wa kano (wa-), mwatleti (wa-);
атлетического сложения sumsum[u];
быть атлетического телосложения -wa na umbo kuza, -kakawana
атлетика
mbio za riadha (мн.), riadha (-)
атмосфера
1) (воздух) anga (ma-;
-), angahewa (-), hewa (-)
2) (условия) hali (-), mazingira (мн.)
атмосферный
-a angani, -a hewani;
атмосферные осадки mvua (-)
атолл
kisiwa cha matumbawe (vi-)
атом
atomi (-)
атомный
-а atomiki, -а kiatomiki;
атомный вес uzani wa atomi (ед.);
атомная бомба bomu lа atomiki (ma-), bomu la kiatomiki (ma-);
атомная масса uzani wa atomi (ед.);
атомная энергия nguvu уа atomi (-), nguvu za kiatomiki (мн.)
атрибут
tabia (-), dalili isiyotenganika (-), sifa (-)
атрофироваться
-pooza
атташе
mwambata (wa-)
аттестат
shahada (-);
аттестат об окончании школы shahada уа kutoka chuoni (-)
аттестация
sifa (-)
аттестовать
(рекомендовать) -sifu, -pendekeza
аттракцион
tamasha (-;ma-)
аудиенция
baraza (ma-;-), hadhara (-), majilis[i] (мн.;-)
аудит
ukaguzi wa mahesabu уа fedha (ед.)
аудитория
1) (публика) hadhara (-), hadhira (-)
2) (помещение) darasa (-;
ma-), chumba cha kusomea (vy-)
аукать
-ita
аукцион
lilamu (-), mnada (mi-)
аукционер
см. <<аукционист>>
аукционист
dalali (ma-), mnadi (wa-), mlanguzi (wa-)
аутентичный
halisi, -a kweli
аутригер
mtenge (mi-), rengu (ma-)
афера
hila (-), werevu (ед.), madanganyo (мн.), hadaa (-)
аферист
mwenye hadaa (wenye), mdanganyi (wa-), mwerevu (wa-), mwenye hila (wenye)
афиша
bango (ma-), karatasi (-;
ma-), tangazo (ma-), ilani (-)
афоризм
nyiso (-), msemo (mi-)
Африка
Afrika (-);
Центральная Африка Afrika уа Kati (-);
Восточная Африка Afrika Mashariki (-)
африканец
Mwafrika (wa-)
африканизация
afrikanaizesheni (-)
африканский
-а kiafrika
афты
(на языке) mabakabaka meupe juu уа ulimi (мн.)
аффикс
kiambishi (vi-);
аффикс нулевой kiambishi sifuri (vi-);
аффикс релятивный kihusiano (vi-)
ахтерштевень
bumia (-), fashini уа nyuma (-)
ацетат
asteti (-)
ацетилен
asetilini (-)
аэровокзал
kituo cha uwanja wa ndege (ma-)
аэродром
kiwanja cha ndege (vi-), uwanja wa ndege (nyanja)
аэронавтика
nadharia na uzoefu wa kuruka kwa eropleni
аэроплан
eropleni (-), ndege (-)
аэропорт
kiwanja cha ndege (vi-), uwanja wa eropleni (nyanja)
аэростат
bofu lа angani (ma-), ndege ya puto (-)

Лексиконы языков: праязыков | древних | угасших | современных | модельных
Лингвистические страницы: Языки мира | Письменности | Интерлингвистика | Основания языка | Компаративистика | Контактология | Экстралингвистика | Лексикология | Грамматика | Фонетика
Полезные страницы: История | Регионы | Карты | Энциклопедии

© «lexicons.ru», 2012. Автор и владелец - Игорь Константинович Гаршин (см. резюме).
Дочерний веб-проект Сайта Игоря Гаршина
Присылайте, пожалуйста, письма ( Письмо Игорю Константиновичу Гаршину) с советами, отзывами, замечаниями и предложениями.
[an error occurred while processing this directive]
Страница обновлена 27.09.2022
Яндекс.Метрика